MENU

Monday, July 11, 2016


Anenavyo Gigy Money
 

 
 
"Mimi bwana siingii vihoteli uchwara, sehemu zangu za kula raha zipo Masaki na Posta, huko ndiyo kuna viwanja ambavyo Gigy Money anaweza kukaa na kupata chakula cha usiku kwa raha. “Pande hizo lazima uwe vizuri, angalau mtu akiwa na laki 7 au 8 basi outing yetu inaweza kuwa nzuri."

No comments: