MENU

Tuesday, August 30, 2016

Mwenyekiti Atandikwa Viboko Hadharani


Wananchi wamcharaza viboko Mwenyekiti wa Kijiji cha Simike Wilayani Rungwe, Mkoani Mbeya kwa kuwasilisha sh.10,000 akidai ndio mapato ya mwaka ya Masoko. Inaelezwa kuwa mwenyekiti huyo alikuwa amegoma kuwasomea wanakijiji mapato na matumizi ya kijiji kwa zaidi ya mwaka mmoja

No comments: